Mechi ya timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars dhidi ya Msumbiji, Black Mambas iliyopangwa kufanyika Septemba 8 kwenye uwanja mpya wa kisasa sasa itaanza saa mbili usiku badala ya saa moja kama ilivyotangazwa hapo awali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment