Timu ya Liverpool ya uingereza jana imefanikiwa kusonga mbele ya mashindano ya kombe la klabu bingwa ulaya baada ya kuichapa bila huruma time ya Real madrid toka spain kwa magoli 4-0,nao vijana vya chelsea imesonga mbele ya mashindano hayo baada ya kutoka sare ya magoli 2-2 na timu ya Juventus toka Italy.
Matokeo mengine ni kama ifuatavyoVillarreal 3-2 Panathinaikos,Sporting 1-12 Bayern.
Mtanange wa mashindano hayo unaendelea tena leo mabingwa watetezi Man. United watachuana na Internazionale inayofundishwa na kocha wa zamani wa chelsea Jose Mourinho.Mechi zingine za leo ni kama ifuatavyo:
Porto - Atlético
Barcelona - Lyon
Roma - Arsenal
kessy58...........................................................................
Matokeo mengine ni kama ifuatavyoVillarreal 3-2 Panathinaikos,Sporting 1-12 Bayern.
Mtanange wa mashindano hayo unaendelea tena leo mabingwa watetezi Man. United watachuana na Internazionale inayofundishwa na kocha wa zamani wa chelsea Jose Mourinho.Mechi zingine za leo ni kama ifuatavyo:
Porto - Atlético
Barcelona - Lyon
Roma - Arsenal
kessy58...........................................................................
No comments:
Post a Comment