skip to main |
skip to sidebar
Manchester united yafanyiwa mchezo mbaya kwao na Liverpool
Timu ya Manchester united leo imeonja joto ya jiwa baada ya kucharazwa nyumbani kwao goli 4-1 na Liverpool katika mchezo wa ligi kuu ya uingereza.Nao vijana wa Arsenal wameifunga timu ya blackburn kwa magoli 4-0.
kessy58..............................................................
No comments:
Post a Comment