Timu ya Arsenal jana imefanikiwa kutinga nusu fainali ya kombe la klabu bingwa ulaya baada ya kuinyuka timu ya Villarreal jumla ya magoli 3-0.Nao mabingwa watetezi wa kombe hilo Manchester united imefanikiwa kuingia nusu fainali kwa kuinyuka timu ya FC porto kwa goli 1-0.Kwa matokeo hayo timu ya Arsenal na Manchester watakutana katika nusu fainali tarehe 29/-04/2009.
kessy58..................................................................
kessy58..................................................................
No comments:
Post a Comment