Thursday 16 April 2009

Arsenal na Manchester zatinga nusu fainali klabu bingwa ulaya




Timu ya Arsenal jana imefanikiwa kutinga nusu fainali ya kombe la klabu bingwa ulaya baada ya kuinyuka timu ya Villarreal jumla ya magoli 3-0.Nao mabingwa watetezi wa kombe hilo Manchester united imefanikiwa kuingia nusu fainali kwa kuinyuka timu ya FC porto kwa goli 1-0.Kwa matokeo hayo timu ya Arsenal na Manchester watakutana katika nusu fainali tarehe 29/-04/2009.
kessy58..................................................................



No comments: