Wednesday 15 April 2009

Chelsea na Brcelona zapepeta,Arsenal-Villarreal,Manchester-FC porto dimbani leo


Timu ya chelsea imetinga nusu fainali ya mashindano ya klabu bingwa ulaya baada ya kutoka sare ya magoli 4-4 na Liverpool.Nao vinara wa Spain fc Barcelona imetinga nusu fainal ya mashindano hayo baada ya kutoka sare ya goli 1-1 na Bayern Munich.kwa matokea hayo timu ya Barcelona na Chelsea watachuana vikali katika nusu fainali.
Mtanange wa mashindano hayo unaendelea tena leo kwa kuzikutanisha timu kati ya Arsenal na Villarreal,FC porto na Manchester United.
kessy58...............................................................


No comments: