Wednesday 8 April 2009

Klabu bingwa ulaya Manchester,Villarreal taabani




Timu ya Manchester United jana imeshindwa kutamba nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya magoli 2-2 na timu ya porto katika kinyang'anyiro cha klabu bingwa bingwa.Nao vijana wa Arsenal wameilzamisha sare ya goli 1-1 dhidi ya wenyeji wao Villarreal.Villareal ndio iliyokuwa ya kwanza kuona nyavu za Arsenal katika dakika 10 kupitia kwa M. Senna,Arsenal nao walicharuka zaidi kipindi cha pili na kufanikiwa kusawazisha goli katika dakika ya 66 lilifungwa na E.S. Adebayor.Mtanange wa mashindano hayo unaendelea tena kwa kuzikutanisha timu ya Barcelona na Bayern Munich,Liverpool naChelsea.
kessy58.....................................................................



No comments: