Thursday 28 May 2009

Barcelona yachukua ubingwa wa Ulaya mbele ya Manchester United.

Shangwe ,vigelegele vikitawala kwa wanaume wa shoka Barca.
Manchester wakibaki na butwaa baada ya kupokonywa kombe na Barca.

C.Ronaldo haamini macho yake.


Messi akishangilia goli lake.



Samuel eto'o akishangilia goli lake la ufunguzi.

Barcelona ndio mabingwa wa kombe la klabu bingwa ulaya kwa kuitandika bila huruma Manchester Unitetedkwa magoli 2-0 huko Rome Itali.Mabao ya eto'o na Messi ndio yaliyokata kidomodomo cha mashetani hao wekundukama wangeshinda ingekuwa kelele mtindo mmoja.
kessy58......................................................................


No comments: