timu ya holland imefanikiwa kusonga mbele ktk mashindano la kombe la ulaya baada ya kuitundika bila huruma timu ya ufaransa jumla ya magoli 4-1.goli la kwanza lilipatika katika dakika 10 kupitia kwa mchezaji D. Kuyt,na la pili lilipatikana katika dakika ya 59 kutoka kwa R.v. Persie,la 3 dakika ya 72 toka kwa A. Robben na mwisho dakika ya 90 toka kwa W. Sneijder. goli la ufaransa lilipatikana katika dakika ya 71 toka kwa T. Henry.
Friday 13 June 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment