timu ya spain jana imefanikiwa kuendelea mbele na mashindano ya kombe la ulaya mzunguko wa pili baada ya kuifunga timu ya sweden kwa magoli 2-1.nao mabingwa matetezi wa kombe ulaya ugiriki jana wameaga mashindano baada ya kufungwa goli 1-0 na urusi.
Sunday 15 June 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
very good blog congratulations
regard from Reus Catalonia Spain
thank you
Post a Comment