skip to main |
skip to sidebar
ujerumani na uturuki zatinga nusu fainali kombe la ulaya
Timu za ujerumani na uturuki zimefanikiwa kuingia nusu fainali ya kombe la ulaya.Ujerumani iliifunga ureno jumala ya magoli 3-2.nayo uturuki imefunga croatia kwa njia ya penati 3-1 baada ya kutoka kufungana 1-1 katika dakika 120. 
kessy58.....................................................................................................
No comments:
Post a Comment