Saturday 21 June 2008

ujerumani na uturuki zatinga nusu fainali kombe la ulaya

Timu za ujerumani na uturuki zimefanikiwa kuingia nusu fainali ya kombe la ulaya.Ujerumani iliifunga ureno jumala ya magoli 3-2.nayo uturuki imefunga croatia kwa njia ya penati 3-1 baada ya kutoka kufungana 1-1 katika dakika 120.
kessy58.....................................................................................................

No comments: