Saturday 18 August 2007

Twanga pepeta pia kufanya onyesho Holland

Bendi ya African stars twanga pepeta hivi karibuni wanatarajia kufanya onyesho la kufa mtu ktk jiji la rotterdam nchini uholanzi tarehe 07/09/07.
na hii chini ni anuani ya ukumbi watakaomua wana twanga pepeta
maelelezo kamili mtayapata hivi karibuni.

PARTY CENTER DE HOOIBERG,

GALVNISTRAAT 34-36
3029AD,ROTTERDAM

1 comment:

Anonymous said...

kweli nimekubali.